Raper kutoka marekani TONY ambaye jina lake halisi ni Curtis James Jackson III, anayejulikana zaidi kama Tony Yayo. wakati akijibu swali la DJ VLAD aliloulizwa je anahisi FRENCH MONTANA ametajirika kwa sababu ya muziki?
amesema jibu ni ndio na akaelezea kwamba FRENCH MONTANA ana kipaji cha uuzaji (marketing genius), amesema @FrenchMontana ni mmoja ya wasanii wa kimkakati zaidi wa wakati wote?
French Montana ni rapa na mwimbaji wa hip hop kutoka Morocco ambaye amejipatia umaarufu mkubwa huko Marekani.
Jina lake halisi ni Karim Kharbouch, na alizaliwa mwaka 1984 huko Casablanca, Morocco. Baada ya kuhamia Marekani akiwa na umri wa miaka 13, alianza kujihusisha na muziki na hatimaye akapata mkataba na lebo ya Bad Boy Records ya Sean "Diddy" Combs.
French Montana amepata mafanikio makubwa na nyimbo kama vile "Unforgettable" na "Pop That". Yeye pia ameshirikiana na wasanii wengine kama vile Drake, Rick Ross, na Lil Wayne.
Mbali na, French Montana amejulikana kwa shughuli zake za muziki na msaada wa msaada, hasa kusaidia jamii zilizoathiriwa na maafa mbalimbali.