Mwigizaji na mtangazaji maarufu kutoka nchini Marekani amevutiwa na performance ya wanasarakasi kutoka Tanzania @ramadhanibrothersofficial , iliyowapelekea kufika hatua ya ‘fainali’ katika shindano la America’s Got Talent.
Mwigizaji na mtangazaji maarufu kutoka nchini Marekani amevutiwa na performance ya wanasarakasi kutoka Tanzania @ramadhanibrothersofficial , iliyowapelekea kufika hatua ya ‘fainali’ katika shindano la America’s Got Talent. #terrycrews amedai kuwa hachoki kuwatazama wanasarakasi hao kutokana na mambo yasiyo ya kawaida wanayofanya, ambayo hata yeye hakuwahi kuyaona kwenye maisha yake yote.