Menu ›
Burudani
Thu, 26 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Muigizaji kutoka nchini Marekani #JonathanMajors amemshitaki mpenzi wake wa zamani #GraceJabbari kwa kosa la kumpiga na kumjeruhi maeneo ya usoni na sikioni.
Major aliwasilisha mashitaka hayo Juni, 23 mwaka huu kwa madai ya kushambuliwa na aliyekuwa mpenzi wake #Grace ambapo kesi hiyo iliyokuwa ikisikilizwa jana Jumatano ilipigwa kalenda mpaka #Novemba 29.
#JonathanMajors alitambulika zaidi kufuatia filamu alizocheza kama vile ‘Creed III’, ‘Ant-Man and the Wasp’ , ‘Lovecraft Country’, ‘The Last Black Man in SanFrancisco’ na nyingine nyingi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live