Muigizaji @mpho_sebeng wa Afrika Kusini afariki dunia baada ya kupata Ajali ya gari aliyoipata asubuhi ya jana May 5,2024 huko Potchefstroom Afrika Kusini . Mpho amefariki akiwa na umri wa miaka 31. Staa huyo amewahi kutamba kwenye filamu mbalimbali kama "Ring of Lies,” “Savage Beauty,” na “The Queen" .
Muigizaji @mpho_sebeng wa Afrika Kusini afariki dunia baada ya kupata Ajali ya gari aliyoipata asubuhi ya jana May 5,2024 huko Potchefstroom Afrika Kusini . Mpho amefariki akiwa na umri wa miaka 31. Staa huyo amewahi kutamba kwenye filamu mbalimbali kama "Ring of Lies,” “Savage Beauty,” na “The Queen" .