Menu ›
Burudani
Fri, 29 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanaume aliyetambuliwa kwa jina la Duane "Keefe D" Davis amekamatwa na Polisi, akihusishwa moja kwa moja na mauaji ya Rapa Tupac Shakur yaliyotokea Mwaka 1996 katika Mitaa ya Las Vegas, Marekani
Licha ya Mashtaka yake kutowekwa wazi, taarifa zinaeleza Mashauri yote kuhusu kesi hiyo iliyodumu kwa takriban miaka 27 yatajulikana leo Septemba 29, 2023
Tupac alizaliwa Jijini New York Mwaka 1971, alijipatia umaarufu mkubwa kupitia muziki wa Hip Hop kutoka upande wa West Coast akitamba na 'hits' kama Do 4 Love, Hit Em Up, Dear Mama na California Love
Chanzo: www.tanzaniaweb.live