Menu ›
Burudani
Wed, 6 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Maria Branyas Morera, binadamu mwenye umri mkubwa zaidi duniani kwa mujibu wa Guinness World Records hatimaye ametimiza miaka 117.
Mwaka 2023 ndipo alitangazwa kuwa ni binadamu mwenye umri mkubwa zaidi duniani.
Maria alizaliwa mwaka 1907 San Francisco, California Marekani lakini ni raia wa Hispania. Maria ana watoto watatu, wawili wapo hai, mmoja alifariki, hana mume, mume wake alifariki mwaka 1976.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live