Menu ›
Burudani
Mon, 12 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ed Sheeran ametoka ardhi ya mfalme Charles III hadi New Jersey Marekani kuweka rekodi hii kwenye muziki wake.
Taarifa zinasema Sheeran amevunja rekodi ya muda wote ya mahudhurio ya watazamaji katika uwanja wa MetLife, ambapo ameweka rekodi mpya kwa kujaza watu 89,000 kwenye onesho lake.
Onesho hili linaingia kwenye vitabu vya Kumbukumbu ya kuwa onesho lake kubwa zaidi kwa nchini Marekani kwa muda wote
Chanzo: www.tanzaniaweb.live