Menu ›
Burudani
Wed, 11 Jan 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Staa wa muziki Diamond Platnumz amejikuta akishindwa kushuti Video yake baada ya kufika location na kuvamiwa na mashabiki mpaka kushindwa kushuka ndani ya gari.
Kupitia Insta Story, Diamond ameshea kipande cha video kinachomuonesha akiwa location hapo akisikika akizungumza akiwa ndani ya gari.
"Siwezi kuwazuia lakini najiuliza wasanii wenzangu wanawezaje wanaoweza kushuti Tanzania kutokana na Upendo ambao huwa wanakutana nao," alisikika Diamond.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live