Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Msanii wa Kenya amnunulia Zari Range Rover Sport 2017, ni yule aliyetangaza kumuoa

7778 Zari Bongo5. AKA TZW

Fri, 11 May 2018 Chanzo: bongo5.com

Ringtone Apoko ni msanii wa muziki wa Injili kutoka nchini Kenya ambaye kipindi cha nyuma alitangaza ni yake ya kumuoa Zari The Boss Lady, sasa muimbaji huyo amerejea tena kwenye headlines zake.



Muimbaji huyo ametangaza kuwa amemnunulia Zari gari aina ya Range Rover Sport ya mwaka 2017, hii ni baada ya kupata taarifa kuwa Zari siku si nyingi atakuwa nchini Kenya.

Soma Pia; Baada ya kuachana na Diamond, msanii wa Kenya ajitosa kwa Zari

Pia ameeleza kufurahishwa mara baada ya kumuona Zari akiwa kanisani na kumtaka kuendelea hivyo hivyo. Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika;.

Dear Zari,

I know you are coming to Kenya anytime from now. I take this opportunity to welcome you to my beloved country.

I checked and I realised that you were in church ? on Sunday am happy because it’s only in Jesus that you won’t be hurt like Diamond did. Pleaaaase stay in church and in God. You recently posted on your IG that you wanted a Range Rover OK I took note and I want to let the world know today that I have bought you a brand new Range Rover sport 2017 model.

Am sorry I know you wanted white but I only managed a black one in color. Please arrange how to pick your key
Chanzo: bongo5.com