Menu ›
Burudani
Fri, 15 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Brazili inaomboleza kifo cha muimbaji wa Injili nchini humo, Pendro Henrique (30) ambaye amefariki Dunia wakati akitumbuiza jukwaani.
Brazili inaomboleza kifo cha muimbaji wa Injili nchini humo, Pendro Henrique (30) ambaye amefariki Dunia wakati akitumbuiza jukwaani. Pedro amedondoka ghafla jukwaani akiwa anaimba Ngoma yake iitwayo "Vai Ser Tai Lindo" na baadae alikimbizwa Kituo cha Afya cha karibu ambapo alithibitika kupoteza maisha.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live