Menu ›
Burudani
Fri, 15 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamuziki Nandy kupitia ukurasa wake wa Instagram ametangaza kuwa kesho inatoka "HIP HOP REMIX" ya Wimbo wake "Dah!".
Kwenye Remix hiyo amemshirikisha G Nako, Stamina, Khaligraph Jones, Joh Makini, Rosa Ree na Moni Centrozone.
Hii ni remix ya pili, ya kwanza ni ile aliyofanya na Alikiba.
Je, Unadhani Rapper gani ametisha zaidi kwenye remix hii?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live