Menu ›
Burudani
Wed, 17 Aug 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamuziki maarufu nchini Rwanda, Yvan Buravan (27) amefariki Dunia baada ya kusumbuliwa na Saratani ya Kongosho.
Msiba umetokea usiku wa kuamkia leo Agosti 17, 2022 akiwa India alipokuwa akipatiwa matibabu.
Buravan alianza kupata umaarufu mwaka 2016 kupitia wimbo wake wa Malaika, baada ya hapo alifanya kazi nyingi ikiwemo ya Just a Dance (Remix) aliyoshirikiana na AY wa Tanzania.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live