Menu ›
Burudani
Fri, 7 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii wa bongo fleva kutokea visiwani zanzibar Rashid Amini maarufu kama Rico Single amefariki dunia katika hosptali aliyokua akipatiwa matibabu huko visiwani zanzibar
Taarifa kutoka kwa ndugu wa karibu zinasema kuwa, Rico ameugua kwa kipindi kifupi na kupelekea kupatwa na umauti
rico atazikwa leo visiwani humo, baada ya mwili wake kuswaliwa Msjid Weles kikwajuni na kuzika katika makaburi ya Mwanakwerekwe.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live