Menu ›
Burudani
Fri, 7 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Legend wa Muziki wa Rap kutokea nchini Kenya CMB Prezzo ameanguka gafla na kupoteza fahamu,
Tukio hilo limetokea wakati Prezzo alipokua amehudhuria kwenye uzinduzi wa Reality Show ya Msanii mwenzake @bahatikenya , kutokea nchini humo.
Sababu za Rapa huyo kupoteza fahamu bado hazijawekwa wazi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live