Menu ›
Burudani
Thu, 23 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii kinda na mpya kwenye kiwanda cha burudani nchini Ikraah ameweka wazi hali atakayokutana nayo endapo akikutana na Diamond Platnumz.
Ikraah ambaye ni mmoja kati ya wasanii wanaosimamiwa na MkubwaFella ameeleza hayo akiwa kwenye #Mashamsham ambapo ametambulisha wimbo wake mpya.
"Nikikutana na Diamond nitashtuka, ni msanii anayeimba vizuri natamani siku moja nikutane naye," alisem Ikraah.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live