Menu ›
Burudani
Sat, 4 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii Loui amekataa kabisa urembo wa kutoboa pua kama wafanyavyo wasanii wengi wa kiume nchini.
"Usela wote nitafanya ila sio kutoboa pua" ameandika @itslouiagain
Wasanii baadhi waliotoboa pua hapa nchini ni pamoja na Diamond Platnumz, Harmonize, Marioo, Chid Benzi na wengineo.
Kwa upande wako unavyoona, Je ni sawa msanii au mtoto wa kiume kutoboa pua kama sehemu ya urembo?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live