Menu ›
Burudani
Thu, 28 Dec 2017
Chanzo: millardayo.com
Producer maarufu ambaye amekuwa akifanya kazi nyingi za wasanii mbalimbali kwenye industry ya Bongo Fleva Mr T Touch ametaja nyimbo 5 ambazo anazikubali kwa mwaka huu wa 2017 na nyingine zikiwemo alizozifanyia kazi kama Producer.
Bonyeza PLAY kusikiliza nyimbo alizotaja.
Ulipitwa na Alikiba kuwaomba msamaha mashabiki wake???
Chanzo: millardayo.com