Menu ›
Burudani
Sat, 10 Mar 2018
Chanzo: bongo5.com
Msanii wa muziki Nigeria, Mr. Eazi usiku wa jana alijumuika na mastaa mbalimbali katika halfa fupi ya Vanity Fair Oscar Party iliyofanyika Hollywood .
Hit maker huyo wa ‘Pour Me Water’ hakujivunga kwani alipata nafasi ya kukutana na mastaa kibao usiku huo kama vile:- Diddy, Tyler Perry, Donald Glover, bila kusahau waigizaji wa filamu ya ‘Black Panther’, Chadwick Boseman, Lupita Nyong’o, Winston Duke na Daniel Kaluuya ambapo alipiganao picha.
Chanzo: bongo5.com