Menu ›
Burudani
Tue, 31 Jan 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Star wa muziki na mpwa wa marehemu mfalme wa muziki wa pop Michael Jackson, Jaafar Jackson (26) ametajwa na Lionsgate kuwa ndie atakae cheza kama Michael Jackson kwenye Documentary ya maisha ya Michael Jackson ambayo imepewa jina la "LIFE OF KING OF POP"
Director wa documentary hiyo Antoine Fuqua amethibitisha hilo baada ya kushare kwenye kurasa wake wa instagram
Jaafar Jackson ni mtoto wa kaka yake Michael Jackson ambae pia ni mwanamuziki na mtunzi pia.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live