Menu ›
Burudani
Tue, 25 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya mkurugenzi wa EFM Majizzo kutangaza kuwa kwenye media yake watangazaji wanne wameondoka kwa wakati mmoja ambao ni Braka Maulid Kitenge, Gerald Hando, B Dozen na Oscar Oscra unahisi itaathi ufannisi wa kazi?
Mpaka sasa Kitenge na Hando wamejiunga na Wasafi media chini ya Diamond huku B Dozen na Oscar wakiwa bado kimya wakiwa nje ya nchi.
Zipo tetesi kuwa B Dozen huenda akarejea Clouds media huku Oscar Oscar akidaiwa kujiunga na Wasafi Media.
Mvutano kati ya wakurugenzi wa media hizi mbili kubwa unakuza tasnia ya habari au unaharibu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live