Menu ›
Burudani
Wed, 23 Jun 2021
Chanzo: eatv.tv
Waziri wa fedha na mipango nchini, Dkt. Mwigulu Nchemba amewateua, mwanamitindo Hamisa Mobetto , mchezaji wa mpira wa miguu Mbwana Samatta na mchambuzi wa soka Edo Kumwembe.
Submitted by Telesphory on Jumanne , 22nd Jun , 2021 Pichani Hamisa Mobetto na Mbwana Samatta
Kuwa mabalozi wa kuhamasisha ulipaji kodi, huku lengo likiwa ni kuhakikisha wananchi wanalipa kodi bila kushurutishwa.
Chanzo: eatv.tv