Menu ›
Burudani
Thu, 14 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamitindo Hamisa Mobetto ameweka wazi kuwa anapenda wimbo wa wasanii wa Bongo Fleva, Alikiba 'King Kiba' na Marioo.
Kupitia mtandao wa instagram ametaja orodha ya nyimbo na wasanii anaowakubali.
"Napenda sana wimbo wa Alikiba na Marioo unaoitwa 'I love you' naupenda sana upo kwenye tano bora zangu," amesema Hamisa Mobetto.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: