Menu ›
Burudani
Wed, 1 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Bodyguard wa mwanamuziki wa R&B kutoka nchini Marekani Trey Songz , Cornell Whitfield amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela kwa kosa la kumpiga shabiki nchini Dubai.
Inaelezwa kuwa mlinzi huyo alimpiga shabiki huyo baada ya kutaka kumdhuru mwimbaji #Trey mwezi Machi walipokuwa hotelini nchini Dubai.
Aidha kufuatia tukio hilo baadhi ya watu mbalimbali akiwemo #Tiny ameonekana akihamasisha watu kumchangia ili aweze kutoka gerezani kwa dhamana ambapo inatakiwa dola 60k.
Ikumbukwe mlizi huyo aliwahi kufanya kazi na mastaa mbalimbali kama vile #LilKim, #TrevonDigg na mwengineo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live