Menu ›
Burudani
Wed, 8 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mlinzi (Security Guard) wa nyumba ya rapa Drake, amejeruhiwa na kukimbizwa hospitali baada ya shambulio la risasi lililoripotiwa kutokea nje ya nyumba ya rapa huyo mapema leo mjini Toronto, Canada.
Mlinzi (Security Guard) wa nyumba ya rapa Drake, amejeruhiwa na kukimbizwa hospitali baada ya shambulio la risasi lililoripotiwa kutokea nje ya nyumba ya rapa huyo mapema leo mjini Toronto, Canada. Polisi wa Toronto walifanya uchunguzi juu ya tukio hilo ambapo imebainika kweli majeruhi huyo ni mlinzi wa Drake na inadaiwa Wakati tukio hilo linatokea Drake hakuwepo nyumbani.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live