Menu ›
Burudani
Sun, 9 Oct 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Muigizaji mkongwe Bongo, Yusuf Mlela amesema kwenye maisha yake, suala la kufunga ndoa hajalipa kipaumbele.
Mlela ameyasema hayao alipokuwa akifanya mahojiano na vyombo vya habari vya mitandaoni ambapo alisema, anapenda kuwa na Amani kwenye maisha yake ndio maana haifikirii ndoa.
“Kuingia kwenye ndoa sio jambo dogo, mimi sijalipa kipaumbele maana kumpata mtu sahihi sio kazi ndogo hivyo nimeamua kutoifikiria sana, naweza hata nisioe sababu napenda furaha,” alisema Mlela.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live