Menu ›
Burudani
Tue, 10 May 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wema Sepetu; ni staa mkubwa wa Bongo Movies ambaye yeye na wenzake waliofikisha umri wa miaka 30 na kuendelea wameshauriwa wasichague wanaume wa kuwaoa.
Wema Sepetu; ni staa mkubwa wa Bongo Movies ambaye yeye na wenzake waliofikisha umri wa miaka 30 na kuendelea wameshauriwa wasichague wanaume wa kuwaoa. Hii ni baada ya Wema mwenye umri wa miaka 33 kutoa vigezo vya mwanaume wa kumuoa ikiwemo kutonuka jasho na asiwe mfupi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live