Mke wa Staa wa Muziki @officialalikiba, @aileenalora ameamua kuvunja ukimya juu ya kauli ya Staa wa Muziki @diamondplatnumz alioitoa na kumuhusisha kuwa habari za yeye na #Amina #Alikiba anazijua kauli ambayo wengi wameitafsiri kama #Diamond aliwahi kutoka kimapenzi na Amina.
Mke wa Staa wa Muziki @officialalikiba, @aileenalora ameamua kuvunja ukimya juu ya kauli ya Staa wa Muziki @diamondplatnumz alioitoa na kumuhusisha kuwa habari za yeye na #Amina #Alikiba anazijua kauli ambayo wengi wameitafsiri kama #Diamond aliwahi kutoka kimapenzi na Amina. Kupitia insta story yake ameweka ujumbe akisema jambo ilo ni la kipuuzi huku akilaani vikali mtu kumkosea heshima Mwanamke bila heshima na kuonesha kushindwa kutofautisha Mwaname na mnyama.