Menu ›
Burudani
Thu, 14 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mjengo wa Leonel Messi ndani ya Florida ambao upo karibu na fukwe ya Fort Lauderdale unakadiliwa kuwa na thamani ya dola milioni 10.8 za Kimarekani (sawa na Tsh bilioni 27).
Mjengo upo umbali wa KM 8 kutoka ulipo Uwanja wa timu yake mpya ya Inter Miami inayomilikiwa na David Beckham.
Mjengo huo unajumla ya vyumba 9, swimming pool, gym, eneo kubwa la kupumzika na sehemu maalumu ya kupika chakula cha asili ya Italia.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live