Menu ›
Burudani
Mon, 25 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Miss World Tanzania Halima kopwe amesema kuwa hawezi kutafuna vitu vigumu hivyo anaamini hata mwanaume atakayempata atakuwa hapendi vitu vigumu.
Halima anasena kuwa ana miaka 10 sasa hajatafuna muwa ila Juice yake anakunywa, na lkusistiza kuwa amelelewa kwneye malezi ya kudekezwa jambo ambalo limepelekea ashindwe kuishi aina fulani ya maisha.
Ameongeza kusema kuwa yeye ametumia muda mwingi kusoma shule za bweni na muda mchache alitumia kukaa nyumba kitu ambacho kiliongoza umakini kwa wazazi wake hasa mama yake ambaye amemtaja kuwa ndiye aliyemdekeza zaidi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live