Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Mimi simkubali mwanamuziki yeyote – Mr. Nice

5526 Indirimbo MAMA Ya Mr Nice Yayituye Ababuze Ababyeyi Babo 1 TZW

Fri, 30 Mar 2018 Chanzo: bongo5.com

Msanii wa muziki Bongo, Mr. Nice amedai kuwa hamkubali msanii yeyote zaidi yake hata akipewa fursa ya kutaja orodha ya wasanii watano anaowakubali nafasi hizo zote atajipatia yeye.



Muimbaji huyo aliyetamba na style ya Takeu amesema hayo nchini Rwanda alipokuwa akifanya show weekend iliyomalizika. Mr Nice amewataja wasanii anaowakubali ni Lady Jaydee, Professor Jay na Jose Chameleone kutoka nchini Uganda.

“Lady Jaydee ni legendari mwenzangu, ni wanamuziki mwenzangu, hivyo hivyo kwa Professor Jay,” amesema.

“Jose Chameleone is Friend of mine ambaye ninaweza nikavua viatu vyangu nikamwambia vaa Jose, dah huyu mtu unajua mimi simkubali mwanamuziki yeyote, namkubali Mr. Nice tu ukiniambia nikupe top five yangu msanii wangu nitakuambia ni Mr. Nice,” amesisitiza.

Mr. Nice kwa sasa anafanya vizuri na ngoma inayokwenda kwa jina la Tuheshimiane.

Chanzo: bongo5.com