Menu ›
Burudani
Wed, 8 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii Mo Music amefunguka kuwa yeye ndio chanzo cha kutofanyika tena kwa tuzo za 'Kili Music Awards' kwa sababu mashabiki kukosoa tuzo hizo baada ya Mo Music kutopewa tuzo ya msanii bora chipukizi.
Msanii Mo Music amefunguka kuwa yeye ndio chanzo cha kutofanyika tena kwa tuzo za 'Kili Music Awards' kwa sababu mashabiki kukosoa tuzo hizo baada ya Mo Music kutopewa tuzo ya msanii bora chipukizi. Mo Music amefunguka hilo kupitia Heshima ya Bongo Fleva ya Planet Bongo. Zaidi tazama hapo kwenye video akizungumzia suala hilo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live