Menu ›
Burudani
Tue, 23 Jan 2018
Chanzo: bongo5.com
Quavo, Takeoff na Offset wa kikundi cha Migos wametangaza maproducer walioshiriki katika kuitayarisha Albamu yao iitwayo CULTURE II inayotarajiwa kuachiwa januari 26 mwaka huu.
Kundi hilo la Atlanta wametumia kurasa zao za Instagram kutangaza watu hao. Kuna baadhi ya majina tulitarajia kabisa kuwa yatakuwepo kama Pharrell ambaye aliitengeza ngoma iitwayo ‘Stir Fry’ ambayo ni moja kati ya ngoma aliofanya na Migos lakini pia kuna majina ya wasanii wakubwa kama vile Kanye West, Murda Beats na Cardo.
Na Raheem Rajuu
Chanzo: bongo5.com