Lifestyle

Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

SIL

Mfungwa alieandika vitabu 81 akiwa gerezani (+video)

Video Archive
Mon, 7 Jun 2021 Chanzo: millardayo.com

Simulizi ya Majid Goa aliyehukumiwa miaka 30 jela kwa kosa la ubakaji wakati huo akiwa na umri wa miaka 28 nyumbani kwao Rorya Mkoa wa Tarime.

Amekaa magereza matano Tanzania na wakati akiwa gerezani alifanikiwa kuandika vitabu 81 vya maisha yake.

Hatimaye March 2021 ameachiwa huru kwa msamaha wa Rais akiwa ametumikia miaka 16 jela ametoka akiwa na miaka 44 na kukuta mke wake anaishi na mwanaume mwingine.

Chanzo: millardayo.com