Menu ›
Burudani
Wed, 25 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ben McMahon Raia wa Australia alipata ajali mbaya mwaka 2015 baada ya Gari lake kugongana na Lori na kupelekea kuwa kwenye Coma kwa wiki moja na alipozinduka alijikuta hawezi kuongea hata lugha yake ya Kiingereza, Lugha pekee aliyokuwa anaongea ni Kichina.
Ben McMahon alisema alishangaa kila akijaribu kuwasemesha ndugu zake walikuwa wanamshangaa tu baadae akagundua anaongea kichina.
Awali hakuwa anaijua lugha ya Kichina, ila aliwahi anatembelea China Mara kadhaa na ilimlazimi kuanza rasmi mafunzo ya lugha hiyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live