Menu ›
Burudani
Tue, 17 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii wa Singeli Meja Kunta amefunguka alichoitiwa BASATA ni content ya video ya wimbo wake 'Shuu' ambao matamshi yake yanalenga watu wazima lakini waliotumika ni watoto.
Msanii wa Singeli Meja Kunta amefunguka alichoitiwa BASATA ni content ya video ya wimbo wake 'Shuu' ambao matamshi yake yanalenga watu wazima lakini waliotumika ni watoto. Meja Kunta amekiri kuwa sio kitu kizuri na ameambiwa aishushe video hiyo aliyotumia kufanya promotion kwenye akaunti yake.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live