Menu ›
Burudani
Tue, 5 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani, Meek Mill ameweka wazi kuutaka Urai wa #Ghana baada ya kuchoshwa na unyanyasaji wa watu weusi nchini Marekani.
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani, Meek Mill ameweka wazi kuutaka Urai wa #Ghana baada ya kuchoshwa na unyanyasaji wa watu weusi nchini Marekani. Mill ameyasema hayo kupitia ukurasa wake wa X kwa kueleza kuwa anataka Uraia wa Ghana kwani Marekani imetengenezwa kwa ajili ya kuwabomoa wanaume weusi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live