Menu ›
Burudani
Fri, 17 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
King of Philly Meek Mill amemuunga mkono rapa mkongwe Snoop Dogg baada ya kutangaza kuacha kuvuta bangi taarifa ambayo mashabiki wengi wameipokea kwa ukubwa na wengine kushangwaza nayo.
Meek Mill anasema hata yeye ameacha kuvuta bangi akimuunga mkono Snoop Dogg kwa sababu Daktari wake amemwambia asipoacha atapata matatizo ya kifua na itaua nusu ya maisha yake.
Meek Mill ameongeza kusema alikuwa ameathirika na Nicotine na bangi mpya ambazo zina chemical nyingi na zinaweza kumletea madhara kwenye afya yake.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live