Menu ›
Burudani
Thu, 9 Jun 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Maajabu na mbwembwe za mbwa aliyefahamika kwa jina la Ghost ambaye amefanya kitendo cha kuvutia wakati wa harusi baada ya kuvamia dimba na kuanza kusakata rhumba huku akikumbatiana na maharusi.
Maajabu na mbwembwe za mbwa aliyefahamika kwa jina la Ghost ambaye amefanya kitendo cha kuvutia wakati wa harusi baada ya kuvamia dimba na kuanza kusakata rhumba huku akikumbatiana na maharusi. Katika video iliyosambaa mitandaoni ambayo hata hivyo haijaelezwa tukio hilo limetokea nchi gani, mbwa huyo pamoja na maharusi wote wameonekana kuwa na furaha kufuatia kitendo hicho cha aina yake.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live