Aliyemtengeneza nywele @diamondplatnumz @aboukizzy_ ambazo kwa mujibu wa watu wa mtandaoni walidai ndio zilizofanya @officialalikiba amuite Diamond 'Kwevo' akimfananisha na @quavohuncho anadai wakati anamtengeneza Simba zile nywele hakuwa anataka aonekane kama Quavo lakini kuna msanii mwingine wa nj'e ndiye aliyemlenga ila sio Quavo.
Aliyemtengeneza nywele @diamondplatnumz @aboukizzy_ ambazo kwa mujibu wa watu wa mtandaoni walidai ndio zilizofanya @officialalikiba amuite Diamond 'Kwevo' akimfananisha na @quavohuncho anadai wakati anamtengeneza Simba zile nywele hakuwa anataka aonekane kama Quavo lakini kuna msanii mwingine wa nj'e ndiye aliyemlenga ila sio Quavo. Baada ya watu kumfananisha @diamondplatnumz na Quavo baada ya kumuweka nywele zile @aboukizzy_ anasema hakufurahishwa na hicho kitu huku akikitafsiri kama dharau kwa wabunifu wa mitindo ya nywele wa nchini Tanzania.