Menu ›
Burudani
Mon, 17 Oct 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nyota Wa Muziki Bongo, Mbosso ametangaza Tour yake ya muziki huko nchini Marekani.
Mbosso amethibitisha hilo kupitia ukurasa wake Wa Instagram (Insta-Story) kuwa Tour hiyo itaanza rasmi Novemba 25 hadi Desemba 16 mwaka huu.
Hata hivyo, miji atakayofanya Tour yake hiyo haijatangazwa lakini ataweka wazi hivi karibuni.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live