Menu ›
Burudani
Wed, 7 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii Kutoka Label Ya WCB, Mbosso ameachia kionjo cha ngoma yake mpya.
Mbosso Ame-Share Video Fupi Katika Ukurasa Wake Wa IG Akiimba Ngoma Hiyo Na Kuweka Hashtag Iliyosomeka 'Sitaki'.
Ngoma Hii Itaifuata Amepotea Ambayo Imetoka Mwezi Ulipotia (Mei, 2023)
Chanzo: www.tanzaniaweb.live