Menu ›
Burudani
Mon, 29 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii wa Bongo Fleva, Mbosso amesema anapenda sana kuigiza hivyo watu wasisite kumtafuta kumpa kazi.
Mbosso amesema, watu wasihofie kuwa chini ya lebo ya Wasafi kwani kikubwa kinachoangaliwa ni fedha hivyo muafaka ukipatikana, wanafanya kazi.
"Wasiiogope Wasafi, waje tu wazungumze na uongozi naamini watafikia muafaka. Napenda kuingiza tamthiliya au muvi hivyo wanitafute tu," alisema Mbosso.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live