Menu ›
Burudani
Sun, 13 Feb 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
MSANII aliyefanya kazi kwa ukaribu na kwa muda mrefu na mapacha wanaounda Kundi la P Square, Peter na Paul Okoye, May D amejitokeza hadharani na kuibua jambo lililoshangaza wengi;
Amesema; “P Square hawakuwahi kunilipa, niamini 100%...”
Staa huyo wa Ngoma ya The Gat Me Hight anasema alishiriki matukio mengi ya kundi hilo kama shoo, kutunga na kutengeneza muziki wao kiasi cha kumtaja kwenye nyimbo zao, lakini baada ya kuvunjika kwa kundi hilo mwaka 2017 kabla ya kurudi tena mwaka jana, alitoka na mikono mitupu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live