Menu ›
Burudani
Sun, 24 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchekeshaji Kago atishia kumshtaki msanii wa Bongo Fleva, Mavokali, kwa kutumia msemo wake wa ‘Bado Hamjasema’ katika wimbo wake mpya ‘HAMJASEMA’
Mchekeshaji Kago atishia kumshtaki msanii wa Bongo Fleva, Mavokali, kwa kutumia msemo wake wa ‘Bado Hamjasema’ katika wimbo wake mpya ‘HAMJASEMA’ Kago ameeleza kuwa mwanamuziki huyo ametumia msemo huo bila ridhaa yake huku akitaka watu kuheshimu misemo inayotolewa kwa sababu inakuwa na hati miliki ya mtoaji.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live