Menu ›
Burudani
Sun, 8 May 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Achana na Maua Sama kueleza kuwa hakuna aliyewahi kutokea mwenye sauti kama yake kwenye kuimba, amefunguka kingine baada ya kuweka wazi kumkubali Alikiba akisema anampenda mpaka anampenda.
Maua Sama amemjibu shabiki aliyemuuliza kuhusu uwepo wa collabo yake na Alikiba na akajibu kwamba
"Kabisa nampenda, nampenda mpaka nampenda tena".
Chanzo: www.tanzaniaweb.live