Menu ›
Burudani
Thu, 23 Sep 2021
Chanzo: millardayo.com
Ni msanii wa kike kutokea kwenye kiwanda cha Bongo Fleva, Maua Sama time hii ametuhabarisha habari njema kuwa Ijumaa hii atadondosha collabo yake na T Pain.
Maua Sama ameujulisha umma na mashabiki wa muziki wake kupitia ukurasa wake wa instagram huku akionesha charts zake na rapper huyo.
Huku kionjo cha ngoma hiyo mpya ikisikika na kuandika…””… And It’s happening soon
Chanzo: millardayo.com