Msanii staa mwimbaji wa muziki wa Bongofleva Maua Sama amepita kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio na kuweka wazi hisia zake kwa Mfalme wa Bongofleva Alikiba, Maua amesema ni muda mrefu sasa amekuwa akivutiwa na Alikiba.
Msanii staa mwimbaji wa muziki wa Bongofleva Maua Sama amepita kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio na kuweka wazi hisia zake kwa Mfalme wa Bongofleva Alikiba, Maua amesema ni muda mrefu sasa amekuwa akivutiwa na Alikiba. "Mimi namkubali tu Alikiba, nampendaa na kila siku nasema. Namkubali kwasababu ni handsome anavutia, ana rangi nzuri lakini namheshimu, napenda muziki wake" - Maua Sama.