Menu ›
Burudani
Wed, 28 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Staa anaesumbua kunako anga la Bongo Fleva, Maua Sama ameonesha nia yake ya kutaka kuingia katika ndoa.
Akizungumza kupitia kipindi cha Planet Bongo ya East Afrika Radio Maua amefunguka kuwa;
"Wengine wanaolewa lakini sisi wengine tupo tu, muanze kuniombea na mimi niolewe. Niko real lakini mapenzi yana vitu vingi sana na kuna muda yanazidi vitu vingi, mniombee niolewe"
Chanzo: www.tanzaniaweb.live