Menu ›
Burudani
Wed, 6 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Staa wa Bongo Fleva, Maua Sama amesema mbali na kumkubali Ali Kiba kama kaka yake lakini pia yupo tayari kwa lolote kama mwamba akiliamsha.
Amesema yeye yupo single hivyo haoni tatizo lolote kama ikitokea jambo limekuwa jambo.
"Ni kaka yangu ndio, nampenda sana lakini pia niko tayari kwa lolote kama akitaka," alisema Maua.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live