Menu ›
Burudani
Sat, 21 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwimbaji Chris Brown ataachia Album yake mpya iitwayo “11:11” siku ya Novemba 11 (11/11) mwaka huu. Album hiyo itakuwa ya 11 kwa Chris Brown tangu aanze muziki.
Album hiyo itakuwa na jumla ya nyimbo 22, Nyimbo 11 za mwanzo zitaachiwa saa 5 Asubuhi yaani (11am) na nyimbo 11 zingine zitaachiwa saa 5 Usiku yaani (11pm) siku hiyo ya Novemba 11.
Tayari ameachia nyimbo mbili toka kwenye Album hiyo “Summer Too Hot” na “Sensational” ambayo imetoka leo akimshirikisha Davido na Lojay.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live